KWA MAOMBI NA USHAURI WASILIANA NASI KWA SIMU: +255 718 267 171 / +255 784 367 826 au +255 754 367 826. P.O.Box 71415 KARIBU SANA.

Monday, June 25, 2012

JANGWANI NA KULOLA KWA YESU HII LEO

Mkutano wa Injili unaendelea katika viwanja vya Jangwani ambapo leo ni siku ya pili ya mkutano huu tangu hapo jana tarehe 24 June 2012 siku ya Jumapili ulipofunguliwa na Mhubiri wa Kimataifa na Askofu Mkuu wa kanisa la Evangelistic Of God Tanzania.

Picha ya Chini Watu wengi walioshiriki katika Ufunguzi wa Mkutano hapo Jana tarehe 24 June 2012

Picha ya Chini Askofu Kulola akihubiri Injili kwa Watu waliofika katika Viwanja vya Jangwani hapo Jana


 Picha ya Chini Askofu wa Jimbo la Kinondoni EAGT akiwa katika Hisia ya Maombi hapo jana katika ufunguzi wa Mkutano

Hii leo Mkutano huu unaendelea katika viwanja hivyo vya Jangwani ambapo Mhubiri huyu wa Kimataifa Askofu Kulola atakuwa akiendela na Injili katika viwanja vya wazi ambapo kituo cha Radio Wapo watakuwa wakirusha Moja kwa Moja Mkutano Huu.

No comments:

Post a Comment