KWA MAOMBI NA USHAURI WASILIANA NASI KWA SIMU: +255 718 267 171 / +255 784 367 826 au +255 754 367 826. P.O.Box 71415 KARIBU SANA.

Tuesday, June 26, 2012

JUMAPILI 24 JUNE 2012 KWA KATUNZI

Jumapili ya tarehe 24 June 2012 katika Ibada ya Kanisa la Evangelistic Assemblies Of God Tanzania City Center Dar es Salaam chini ya Mchungaji Frolian Katunzi ilikuwa ni Ibada ya tofauti na iliyojaa nguvu za Mungu ambapo wengi waliofika hakika walipata chakula kizuri cha kiroho kwa wakati husika.

Picha za Chini ni Baadhi ya Matukio yaliyojiri katika Ibada Husika ya tarehe 24 june 2012 iliyofanyika katika Ukumbi wa Bandari tandika Wilayani Temeke.










No comments:

Post a Comment