KWA MAOMBI NA USHAURI WASILIANA NASI KWA SIMU: +255 718 267 171 / +255 784 367 826 au +255 754 367 826. P.O.Box 71415 KARIBU SANA.

Tuesday, September 11, 2012

WAZIRI NCHIMBI ATIMULIWA NA WANAHABARI HII LEO

Hii leo Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Saalam wameandamana kutoka katika Ofisi ya Chanel Ten alipokuwa anafanya kazi Mwandishi Daud Mwangosi hadi katika viwanja vya Jangwani kwa lengo la kuieleza Serikali kutokufurahishwa kwa Mauaji ya Kinyama kwa Mwandishi Mwangosi Mkoani Iringa wiki iliyopita.

Katika Maandamano hayo yaliyoishia viwanja vya Jangwani yaliingia Dosari baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Dk. Emmanuel Nchimbi kuwasili pasipo mualiko kutoka kwa Wanahabari hao, ambapo hata hivyo Waziri huyo alikubari kusikiliza wazo la waandishi kumtaka aondoke eneo la tukio kwa kuwaacha wandishi waendelee na Ratiba waliyokuwa wameipanga.

Katika picha ni baadhi ya Matukio yaliyokuwa yamejiri hii leo



















Katika Picha ni Baadhi ya Matukio yaliyokuwa yamejiri hii leo.

No comments:

Post a Comment